Kenya

Immigration History from Kenya to Victoria

In the late 19th century Kenya was known as British East Africa, and was first recorded in the Victorian census in 1901, when one Kenya-born male was resident in Victoria. Kenyans were not recorded in Victoria again until 1981. During that time Kenya had seen remarkable political change, with the transition to independence from Britain starting in the 1950s and the first direct elections of Africans to the Kenyan Legislative Council in 1957.

From the 527 residents recorded in 1981, the Kenyan population in Victoria grew steadily. In 1986, 664 called Victoria home, with the number growing to 715 by 1991 and 847 by 1996. The 2001 census saw a 32% increase in the population to 1117 residents.

By 2016, the population had grown a further 346% to 3,867. The majority of Kenya-born Victorians today are Christian, 20% are Catholic and 15% are Anglican. Islam is practised by 14%, while 10% are Hindu. A large proportion of the population is very young: roughly one quarter of the population is aged between five and 14 years old.

Kenya has a number of ethnic groups, including Kikuyu, Embu, Luo and Masai and Swahili, and 62 languages are spoken. Several of these are represented in the range of languages spoken by Kenyans living in Victoria. English is spoken by 35% of Kenya-born Victorians, while 26% speak Swahili. The next most common languages are Dinka, Somali and Gujarati.

Of those employed, 52% are engaged in managerial, professional and associated roles, of which the largest professions are accounting and computing. Nearly one quarter are intermediate clerical, sales and service workers, of which almost half are special and personal care workers. Labourers make up 3% of the population, while 2% have a trade.

The community is supported by the SBS African language program and the African Communities Council of Victoria. The community celebrates Jamhuri Day, Kenyan Independence, in December.

Immigration History from Kenya (Swahili) to Victoria

Hapo karne ya Kumi na Tisa (19th Century) Kenya ilijulikana kama Uingereza Africa Mashariki na ilikuwa kwenye kumbukumbu za sensa za victoria mwaka wa Elfu Moja Mia Tisa na Moja (1901). Wakati mzaaliwa moja wa Kenya wa asili ya kiume alikuwa mwenyeji wa victoria. Wa Kenya hawakuwa kwenye kumbukumbu za Victoria hadi mwaka wa Elfu Moja Mia Tisa na Themanini na Moja (1981). Katika muda huo Kenya ilikuwa imeona mabadiliko makubwa kisiasa, tangu ukiuaji wa uhuru kutoka kwa Uingereza miaka ya Elfu Moja Mia Tisa Na Hamsini (1950s). Kura za kwanza za Legco kwa waafrika zilifanyika mwaka wa Elfu Moja Mia Tisa na Hamsini na Saba (1957).

Kuanzia waakazi Mia Tano na ishirini na saba waliokuwa kwenye kumbukumbu za Elfu Moja Mia Tisa na Themanini na Moja. (1981), watu wa Kenya wameendelea kukua wima.

Kufikia 2011, idadi ya watu imekua kwa 155% zaidi hadi 2,851. Wingi wa kenya-waliozaliwa Victoria leo ni Wakristo, 20% ni Wakatoliki na 15% ni Waanglikana. Waislamu ni 14%, huku Wahindi ni 10%. Uwiano mkubwa wa idadi hii ya watu ni wachanga sana: takribani robo moja ya jumla ya idadi ya watu inao umri kati ya miaka mitano na 14.

Kenya inayo idadi kadhaa ya makabila, yakiwemo Kikuyu, Embu, Luo na Maasai na Swahili, na lugha nyingine 62 zinazungumzwa. Lugha kadhaa kati ya hizi zinawakilishwa na mseto wa lugha zinazozungumzwa na Wakenya wanaoishi Victoria. Kiingereza kinazungumzwa na 35% ya Wakenya-waliozaliwa Victoria, huku 26% wanazungumza Kiswahili. Lugha nyingine maarufu ni Dinka, Kisomali na Kigujarati.

Kwa wale walioajiriwa, 52% wanajihusisha katika kazi za usimamizi, wataalamu na kazi nyingine kama hizo, ambapo kundi kubwa zaidi la wataalamu ni uhasibu na wataalamu wa hesabu. Karibu robo ni wafanyakazi wa ukarani, uuzaji na utoaji huduma, ambapo karibu nusu ni wafanyakazi wa utunzaji spesheli na wa kibinafsi. Wafanyakazi wa kazi ya sulubu wanaunda 3% ya idadi ya watu, huku 2% wanayo biashara wanayofanya.

Jumuiya hii inasaidiwa na programu ya lugha ya Kiafrika ya SBS na Baraza la Jumuiya za Kiafrika za Victoria. Jumuiya inasherehekea Jamhuri Day, Uhuru wa Kenya, mnamo mwezi wa Disemba.

Notes

• In the late 19th century Kenya was known as British East Africa until it became the colony of Kenya in 1920.

Average Age

Dataset: Kenya Source: Australian Bureau of Statistics

Age Distribution

Dataset: Kenya Source: Australian Bureau of Statistics

Population

Dataset: Kenya Source: Australian Bureau of Statistics

Gender split for  

Dataset: Kenya Source: Australian Bureau of Statistics

Occupations

Dataset: Kenya Source: Australian Bureau of Statistics

Religions

Dataset: Kenya Source: Australian Bureau of Statistics

Languages

Dataset: Kenya Source: Australian Bureau of Statistics